UGANDA

Mawakili nchini Uganda watowa hoja kuhusu mgomo wao unaoendelea

Askari wa Uganda akivurumisha risasi hewani kuwatawanya waandamanaji
Askari wa Uganda akivurumisha risasi hewani kuwatawanya waandamanaji Reuters/James Akena

Mgomo wa mawakili nchini Uganda waendelea, huku wakituhumiwa kuchochea maandamano ya upinzani nchini humo.

Matangazo ya kibiashara

Mawakili wanaogoma nchini Uganda wanasema kuwa mgomo wao wa wiki moja haulengi kwa vyovyote vile, kuchochea maandamano bali ni kulalamikia ukikwaji wa haki za biandamu unaotekelezwa na serikali nchini humo kupitia kwa vyombo vya usalama amabvyo maafisa wake wanakamata na kuwapiga wananchi wa Uganda, wanapotaka kudai haki zao za kimsingi kama kuandamana.
David Mayinja Tebusweke ni mmoja wa mawakili hao,ambao wamepnaga kugoma hadi siklu ya Jumamosi juma hili.

mgomo wa mawakili nchini Uganda
UGANDA -DAVID MAYINJA TEBUSWEKE