Muziki Ijumaa

Niboma mwanamuziki mahiri wa vionjo vya kiafrika

Imechapishwa:

Muziki wa kiafrika unaendelea kushika kasi na kupendwa na watu mbalimbali na wanamuziki wengi wa Afrika wanaendelea kutamba na muziki  huo na hata kuvuka mipaka ya Bara la Afrika. Mmoja wa wanamuziki ambao wamewahi kuutangaza vizuri muziki huo ni mwamuziki NIBOMA akiimba miondoko ya Lingala. Lizzy Masinga anamzungumzia kwa kina mwanamuziki huyo.

Muziki ijumaa
Muziki ijumaa © Studio graphique FMM
Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00