Kuapishwa kwa rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:55
Rais wa Zimbabwe Comrade Robert Gabriel Mugabe ameapishwa kuchukua muhula mwingine wa 7 mfululizo katika sherehe za kihistoria ambazo zilishuhudiwa na baadhi ya viongozi wa Afrika huku akiyashutumu mataifa ya magharibi wakati wa hotuba yake.