Habari RFI-Ki

Viongozi wa Maziwa Makuu wakutana kujadili mgogoro wa Masharaiki mwa DRC

Imechapishwa:

Viongozi wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu, ICGLR wanakutana leo jijini Kampala nchini Uganda katika kikao cha dharura kujadili hali ya usalama mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC. Makala ya Habari Rafiki leo hii inaangazia mkutano huo.

RFI
Vipindi vingine
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38