Jua Haki Zako

Sehemu ya pili ya mada kuhusu mirathi

Imechapishwa:

Fuatilia sehemu ya pili ya mada hii ya mirathi. Wanasheria na moja wa wanawake wanaoathirika na mirathi anasimulia machache ya changamoto anazozipata. Endelea kuelimika na kuhabarika.

Wanawake wajane nchini Haiti wakiadamana kudai haki zao. Wanawake wengi walio wajane wanaathirika na suala zima la mirathi baada ya wakwe kutaka kurithi mali za marehemu na wakati mwingine hata kutaka kuwarithi wao wenyewe.
Wanawake wajane nchini Haiti wakiadamana kudai haki zao. Wanawake wengi walio wajane wanaathirika na suala zima la mirathi baada ya wakwe kutaka kurithi mali za marehemu na wakati mwingine hata kutaka kuwarithi wao wenyewe. AFP PHOTO/Erika SANTELICES
Matangazo ya kibiashara

Bofya hapa chini kwa maelezo zaidi juu ya misaada mbali mbali ya kisheria.

 

Legal and Human Right Centre.