Waasi;Majeshi ya kigeni ni chanzo cha mapigano Sudan kusini
Imechapishwa:
Sauti 09:52
Waasi wa Sudani Kusini wanadai kuwa kuendelea kuwepo kwa majeshi ya kigeni nchini humo kunachangia kuendelea kwa mapigano,hayo yanajiri wakati serikali ya Uganda na ya Sudani kusini zimekubaliana jeshi la Uganda kusalia Sudani kusini kwa miezi minne zaidi....