UGANDA-ICC-ONGWEN-SHERIA

Fatou Bensuda akamilisha ziara yake Uganda

Mwendesha mashtaka wa mahakama ya ICC Fatou Bensouda
Mwendesha mashtaka wa mahakama ya ICC Fatou Bensouda Reuters

Kiongozi wa Mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya ICC Fatou Bensouda amemaliza ziara yake ya siku tano nchini Uganda.

Matangazo ya kibiashara

Fatou Bensouda amepata hakikisho kutoka kwa rais Yoweri Museveni ambaye amemwambia serikali yake itashirikiana naye kuhakikisha kuwa kesi dhidi ya Kamanda wa juu wa kundi la LRA Dominique Ongwen inafikishwa osini mwake.