Heka heka za wanasiasa nchini Kenya zaanza kuelekea uchaguzi mkuu wa mwakani
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 10:40
Nchini Kenya joto la kuelekea uchaguzi limeanza kushuhudiwa hususan mwanzoni mwa mwaka huu ambapo wanasiasa wamejikita katika kuhama vyama na kujijenga kisiasa tayari kwa kujitosa katika uchaguzi mwakani...wakenya wanamaoni gani juu ya siasa za kikabila safari hii?