Jua Haki Zako

JUA HAKI ZAKO 02ND MAY 2016

Imechapishwa:

Suala la utoaji mimba inaibua maswali mengi sana barani Afrika. Wanasheria na madaktari wanateta juu ya sheria ya utoaji mimba nchini Tanzania na kujua kwamba utoaji mimba nchini Tanzania ni kosa la jinai, isipokuwa panapokuwa sababu za kitabibu. Pia, unaweza kubofya hapa kujua zaidi kuhusu kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania, LHRC.

People demonstrate against plans of tightening the abortion law in Warsaw, Poland April 9, 2016. The placards read, from left" "I want choice!!!", "Abortion is my business" , "My body= my right"
People demonstrate against plans of tightening the abortion law in Warsaw, Poland April 9, 2016. The placards read, from left" "I want choice!!!", "Abortion is my business" , "My body= my right" REUTERS/Kacper Pempel