Habari RFI-Ki
Siku ya uhuru wa vyombo vya habari,tathimini yake juu ya mafanikio na changamoto Afrika mashariki na kati
Imechapishwa:
Cheza - 09:48
Wasikilizaji wanaangazia siku ya uhuru wa vyombo vya habari kimataifa ambapo kwa upande wa Afrika mashariki wanatathimini haki ya kupata taarifa.