Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Maandamano ya upinzani Kinshasa, Obama atembelea Hiroshima

Imechapishwa:

Katika makala hii tunaangazia kuuawa kwa mtu nchini DRC wakati wa maandamano ya  upinzani kupinga uamuzi wa Mahakama ya katiba kumruhusu Joseph Kabila kuongoza nchi hiyo endapo uchaguzi hautafanyika mwaka huu, pamoja na hili utasikia mambo mengine mengi yaliyojiri wiki hii ikiwa ni pamoja na ziara ya kihistoria ya rais Barack Obama wa Marekani mjini Hiroshima Japani.

Wafuasi wa vyama vya Upinzani wakiandamana mei 26 mjini Kinshasa.
Wafuasi wa vyama vya Upinzani wakiandamana mei 26 mjini Kinshasa. PATRICK MULONGO / AFP
Matangazo ya kibiashara

Barack Obama akiwa Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe mei 27 2016.
Barack Obama akiwa Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe mei 27 2016. Reuters