Habari RFI-Ki

Serikali ya Tanzania kupiga marufuko mifuko ya plastiki.

Imechapishwa:

Makala Habari rafiki leo jumatatu mei 30 inajadili hatua ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku utumiaji wa mifuko ya plastiki huku wanaharakati wa mazingira wakisema kuwa ni hatua nzuri licha kuwepo changamoto katika utekelezaji wake.Hatua hiyo ya serikali ya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki itaanza kutekelezwa mwaka ujao kama njia ya kulinda mazingira na kuepusha ucafuzi wa mazingira.Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi. 

Wasichana wa mjini Agbogbloshie, wakiuza maji kwenye mifuko ya palstiki.
Wasichana wa mjini Agbogbloshie, wakiuza maji kwenye mifuko ya palstiki. (Amélie Tulet)