Makamu wa raisi wa zamani nchini DRC Jean Pierre Bemba amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela baada ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC kumpata na hatia.Hukumu hiyo imewagawa raia wa DRC kufuatia kila mmoja kuwa na mtazamo wake ambapo mjini Kinshasa wengi hawakuridhishwa na hukumu dhidi ya Bemba,je wasikilizaji wana maoni gani?
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.29/05/2023 09:38
-
Habari RFI-Ki maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili Kila siku ya Ijumaa rfi Kishwahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile unayoipenda katika makala Habari Rafiki.19/05/2023 09:59
-
13/05/2023 09:30
-
12/05/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki Je vikosi vya SADC ndio suluhu ya usalama mdogo mashariki mwa DRC Muungano wa nchi za SADC, umeafikiana kutuma kikosi chake nchini DRC kusaidia kurejesha usalama mashariki mwa nchi hiyo. Tumewauliza wasikilizaji wetu ikiwa wanadhani kikosi cha SADC kitaleta tofauti mashariki mwa DRC.Raia nchini DRC watazamie nini kutoka kwa kikosi cha SADC10/05/2023 09:28