Umoja wa Afrika umezindua Pasi ya kusafiria ya bara Afrika, kuwawezesha Waafrika kusafiri na kufanya biashara katika mataifa yote 54 bila ya vikwazo, kuelekea kutimiza Ajenda ya mwaka 2063 ya kuliunganisha bara la Afrika kisiasa.Uzinduzi huu ulifanyika jijini Kigali nchini Rwanda katika mkutano wa viongozi wa Afrika, na watu wa kwanza kupata pasi hiyo ni rais wa Rwanda Paul Kagame na Mwenyekiti wa Umoja huo Idriss Derby ambaye pia ni rais wa Chad.AU imetoa hadi mwaka 2018 kuanza kutolewa kwa Pasi hiyo kwa waafrika wengine.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Kuyashirikisha makundi yenye silaha kwenye mazungumzo ya amani Kuna ongezeko kubwa la makundi yenye silaha katika mataifa ya Afrika09/06/2023 10:03
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30