Habari Rafiki leo inatupia jicho kurudi kwa Etienne Tchisekedi, moja wa viongozi wa upinzani nchini DRC. Tchisekedi alisafiri nchini Ubeligiji kwa ajili ya matibabu na sasa ndio anarudi huku nchi hiyo ikielekea kwenye uchaguzi mkuu na mjadala wa kitaifa ukiwa unaandaliwa na kusimamiwa Umoja wa Afrika. Sikiliza uhabarike.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32
-
30/05/2023 09:29