Mazungumzo ya kisiasa kutamatika jumamosi hii DRC
Imechapishwa:
Sauti 21:16
Makala hii imeangazia kuhusu mazungumzo ya kitaifa ya nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kutamatika jumamosi hii mjini Kinshasa huku matarajio ya wananchi kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwaka huu kwa mujibu wa katiba kuingia mashakani, baada ya pande zote kushindwa kuafikiana, kuachiliwa huru kwa madereva wa kutoka Tanzania na Kenya mashariki mwa DRC, pia mapigano mapya ya Sudan Kusini, siasa za Marekani na Syria zimetamatisha makala hii.