Habari RFI-Ki

Maandamano ya upinzani nchini DRC

Imechapishwa:

Leo tunatupia jicho maandamano ya upinzani nchini DRC kumtaka rais Joseph Kabila kutowania kiti cha urais kwa awamu ya tatu na uchaguzi mkuu kufanyika Mwezi wa Kumi na Moja 2016 kama inavyosema katiba ya nchi hiyo.

Mmoja wa waandamanaji raia wa DRC walioandamana hivi karibuni kupinga Serikali.
Mmoja wa waandamanaji raia wa DRC walioandamana hivi karibuni kupinga Serikali. DR
Vipindi vingine
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30