Habari Rafiki siku ya leo tumetupia jicho Hatua ya Marekani juu ya DRC. Wasikilizaji mbali mbali wanaweka bayana mitazamo juu ya msimamo wa Marekani na kuamuru raia wake kuondoka nchini mule kuhofia machafuko yanayoweza kutokea tena mjini kinshasa nchini DRC.
Vipindi vingine
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32
-
30/05/2023 09:29
-
Habari RFI-Ki Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.29/05/2023 09:38