Jua Haki Zako

Mkutano wa wanawake wa pembezoni barani Afrika kufanyika nchini Tanzania

Imechapishwa:

Makinika na Scholastica Haule, meneja wa kitengo cha wanawake wa shirika la kimataifa, ActionAid, akifafanua mkutano mkuu wa wanawake waliopo pembezoni barani Afrika kufanyika nchiniTanzania hivi karibuni.

ActionAid, shirika la kimataifa lililo mstari wa mbele katika kutetea haki za wanawake waliopo pembezoni barani Afrika.
ActionAid, shirika la kimataifa lililo mstari wa mbele katika kutetea haki za wanawake waliopo pembezoni barani Afrika.
Vipindi vingine