Jua Haki Zako

Changamoto za wanawake kumiliki ardhi barani Afrika

Imechapishwa:

Scholastica Haule, meneja wa kitego cha wanawake kutoka shirika la kimataifa la ActionAid anaendelea kufafanua mawili matatu kuhusu changamoto za wanawake kumiliki ardhi barani Afrika, hususan nchini Tanzania.

Wanawake wa Nigeria.
Wanawake wa Nigeria. REUTERS/Afolabi Sotunde
Vipindi vingine