Changu Chako, Chako Changu

Profesa Elias Jengo wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam anaendelea kuzungumza

Imechapishwa:

Profesa Elias Jengo, mtaalamu wa sanaa kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam  anaendelea kuzungumza juu ya kazi zitokanazo na sanaa za mikono. Makinika naye kwenye sehemu hii ya pili na ya mwisho ya mada hii.

Onyesho la kazi zitokanazo na sanaa za mikono nchini Cameroun.
Onyesho la kazi zitokanazo na sanaa za mikono nchini Cameroun. RFI/Sayouba Traoré
Vipindi vingine