Leo katika makala ya HABARI RAFIKI tunazungumzia siku ya kimataifa ya televisheni.Siku hii inatambuliwa kimataifa na tarehe kama ya leo 1996 ndipo kongamano la kwanza la kidunia kuhusu televisheni lilifanyika.Lengo likiwa ni kutambua mchango wa televisheni toka kugunduliwa kwake.Msikilizaji ni kwa vipi televisheni imebadilisha dunia?kiutamaduni,kisiasa,na hata kiuchumi?Vipi faida zake ukilinganisha na radio?
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32