Habari RFI-Ki

Viongozi wa Afrika kurithisha madaraka kwa watoto wao

Imechapishwa:

Katika makala haya utasikia maoni ya wasikilizaji kuhusu baadhi ya viongozi barani Afrika kuwarithisha  watoto wao ama wanafamilia madaraka, sikiliza ufahamu mengi, karibu.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni na mkewe  Janet Musesveni
Rais wa Uganda Yoweri Museveni na mkewe Janet Musesveni ©Gaël Grilhot/RFI