Habari RFI-Ki

Wanasiasa wa Upinzani nchini Burundi waomba kukutanishwa na serikali ana kwa ana

Imechapishwa:

Wanasiasa wa Burundi wamemuomba msuluhishi wa mzozo wa kisiasa Benjamin Mkapa kuwakutanisha ana kwa ana na serikali ya Burundi ili kufikia muafaka wa kudumu.Hatua hiyo ni baada ya msuluhishi kukutana na wanasiasa wa pande zote mbili juma hili.

Raisi wa Burundi Pierre Nkurunziza
Raisi wa Burundi Pierre Nkurunziza ????
Vipindi vingine
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30