Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaeleza kuwa waasi wa zamani wa M 23 wamerejea katika jimbo la Kivu Kaskazini, na jeshi la serikali linasema limekuwa likipambana na waasi hao katika Wilaya ya Rutshuru na kuzua wasiwasi.Tunasikia kutoka kwa raia wa DRC.
Vipindi vingine
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32
-
30/05/2023 09:29
-
Habari RFI-Ki Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.29/05/2023 09:38