Rais Kabila ahutubia bunge la Seneti na la Kitaifa
Imechapishwa:
Sauti 10:03
Katika makala haya utasikia maoni kuhusu hotuba ya rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila kwa bunge la seneti na bunge la kitaifa ambapo ameahidi waziri mkuu kupatikana baada ya saa 48 na kuundwa kwa serikali ya mpito.