Muziki Ijumaa

G-Bo Gibanga mwanamuziki kutoka Burundi azindua album yake ya 4G

Imechapishwa:

G-Bo Gibanga ni miongoni mwa wanamuziuki jipukizi nchini Burundi ambae amepata mafaanikio makubwa baada ya kutoa niymbo zake kadha ambazo zilipokelewa vizuri na hatimae juma hili amezindua album yake iliokuja kwa jina la 4G, mengi zaidi ambatana naye katika makala haya na Ali Billy Bilali unaweza pia kumfollow kwa instagram @billy_bilali

Mwanamuziki G-Bo alievalia kapero nyeupe wakati ikitengenezwa video ya wimbo wake Overdose uliomo katika album yake G4
Mwanamuziki G-Bo alievalia kapero nyeupe wakati ikitengenezwa video ya wimbo wake Overdose uliomo katika album yake G4 g-bo/facebook
Matangazo ya kibiashara

Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00