Habari RFI-Ki

Uchaguzi wa DRC wapigwa kalenda, wananchi watoa maoni yao

Imechapishwa:

Kuna ripoti kuwa uchaguzi wa DRC huenda ukaahirishwa kutokana na changamoto mbalimbali huku baadhi ya maeneo kampeni zikipigwa marufuku. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao.

Rais Joseph Kabila anaelekea kumaliza muda wake baada ya kuitawala DRC tangu mwaka 2001
Rais Joseph Kabila anaelekea kumaliza muda wake baada ya kuitawala DRC tangu mwaka 2001 JOHN WESSELS / AFP
Vipindi vingine
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30