Homa ya dengue ni moja ya ugonjwa ambao unaosababishwa na kirusi ambacho kinaenezwa na mbu wa aina ya Aedes,Ugonjwa huu ulithibitishwa kuwa tishio katika nchi nyingi katika ukanda wa Afrika mashariki huu taarifa zikionesha idadi hii ya wagonjwa imeongezeka mara mbili kuliko siku za nyuma.Makala ya Siha njema jumaa hili inaangazia juu ya ugonjwa huu ambao hauenezwi kutoka binadamu mmoja kwenda kwa mwingine bila ya kuwepo na kuumwa na Mbu mwenye vimelea.
Vipindi vingine
-
Siha Njema Matumizi ya Dawa za Kulevya Sudan Kusini Watu walioacha kutumia dawa za kulevya nchini Sudan wanasaidia juhudi za kupambana na dawa za kulevya06/06/2023 09:29
-
Siha Njema Mapambano kupunguza matumizi ya Tumbaku na mchango wa sekta binafsi katika afya Mataifa ya ulimwengu yanapoadhimisha siku ya Tumbaku Mei 31,kuna hofu juhudi za kupunguza matumizi ya tumbaku zinaonekana kurudishwa nyuma na ukiukaji wa sheria za kupambana na matumizi ya tumbaku31/05/2023 10:07
-
Siha Njema Kuipa hedhi heshima kama haki ya msingi miongoni mwa wanawake Umaskini umechangia wasichana wengi kukosa Sodo na kushindwa kwenda shule25/05/2023 09:28
-
Siha Njema Nafasi ya wauguzi kwenye mkondo wa huduma za afya na huduma za afya kwa wanaoishi na ulemavu Kila Mei kati ya tarehe 8- 14 dunia huwaenzi wauguzi ambao ni kiungo muhimu kwenye huduma za afya.16/05/2023 10:03
-
Siha Njema Mchango wa Wakunga katika utoaji huduma za kimsingi kwenye jamii Kila Mei tarehe tano ,ulimwengu huadhimisha siku ya kimataifa ya wakunga09/05/2023 10:03