Bara la Afrika limejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali. Vyanzo hivyo ni pamoja namito,Maziwa, Ardhi oevu na maji chini ya ardhi.Lakini hivi karibuni kumekwepo na uharibifu mkubwa wa vyanzo hivi vya maji kutokana na ukataji wa miti katika vyanzo hivi vya maji kwajili ya kuni pamoja na kuendesha kilimo katika kingo za vyanzo jivi vya maji,Makala ya Mazingira leo Dunia Yako Kesho inagazia juu ya chanzo na athari za uharibifu wa vyanzo hivi vya maji
Vipindi vingine
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Siku ya kimataifa ya mazingira, kaulimbiu ikiangazia juhudi za kukabiliana na uchafuzi wa plastiki Maadhimisho haya yanafanyika wakati huu ripoti ya hivi punde ya shirika la mazingira la umoja wa mataifa UNEP ikipendekeza mabadiliko ya mifumo ili kuabiliana na chanzo cha uchafuzi wa plastiki.05/06/2023 10:00
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Kikao cha pili cha kamati ya majadiliano ya kiserikali kuelekea kuundwa kwa mkataba wa uchafuzi wa Plastiki Ripoti ya hivi punde ya shirika la mazingira la umoja wa mataifa kuhusu namna dunia inaweza kukomesha uchafuzi wa plastiki imependekeza mabadiliko ya mifumo ili kukabiliana na chanzo cha uchafuzi wa plastiki, mwanzo kwa kupunguza matumizi ya plastiki iliyo na madhara na isiyohitajika na mabadiliko ya masoko kuwezesha kutumia plastiki tena na tena.30/05/2023 09:34
-
16/05/2023 09:34
-
13/05/2023 10:02
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Wakulima nchini Kenya waapa kuendelea kutumia mbegu za kiasili ili kulinda mazingira Kenya yasalia nchi pekee kwenye jumuiya ya Afrika mashariki katika mipango ya uagizaji wa mbegu na vyakula vya jenetiki.Hadi sasa Tanzania, Uganda na Burundi bado haijafungulia uagizaji wa vyakula na mbegu zilizoboreshwa kisayansi, GMOs, katika kanda hii.01/05/2023 10:00