Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Uganda,Rwanda na Jamuhuri ya Kongo Kupamabana na Ujagili

Imechapishwa:

Nchi za Afrika mashariki zimeeendelea kuweka mikakati ya kupambana na ujangili na uvamizi wa misitu ya hifadhi ya serikali.Nchi ya Uganda kwa kushirikiana na Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ilianda mkutano wa madau wa mazingira ilikuwezesha kuzuia ujangili,Makala ya Mazingira Leo Dunia Yako keshpo inatupia jicho juu ya mkutano huo

A policeman arranges seized elephant tusks to be inspected at Makupa police station in Mombasa June 5, 2014.
A policeman arranges seized elephant tusks to be inspected at Makupa police station in Mombasa June 5, 2014. REUTERS/Joseph Okanga