Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Uharibifu wa Mistu Kwenye Vyanzo vya maji

Imechapishwa:

Uharibifu wa mazingira ni moja kati ya tishio kubwa la uhai wa binadamu ,Nchi Nyingi zinakabiliwa na uharibifu mkubwa wa vyanzo vya maji na ardhi hali ambayo imechangia katika uharibifu wa vyanzo vya maji na misitu .

Lake Manyara national park, Tanzania.
Lake Manyara national park, Tanzania. Fanny Schertzer/CC