Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwingine kwa kuwa hakuna vimelea mwilini vinavyohusiana na magonjwa hayo. Huku Kisukari ikiwa ni moja ya muuaji wa kimya kimya ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Na kwamujibu wa uchunguzi uliofanywa na jopo la madaktari bingwa kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 ulibaini asilimia 79 ya watanzania wazee waligundulika kuugua magonjwa ya kisukari.Basi kupitia kipindi chetu cha Siha Njema kwa mara nyingine kwa juma hili nitaweza angazia juu ya Ugonjwa huu na naama ya kukabiliana na ugonjwa huu.
Vipindi vingine
-
Siha Njema Mapambano kupunguza matumizi ya Tumbaku na mchango wa sekta binafsi katika afya Mataifa ya ulimwengu yanapoadhimisha siku ya Tumbaku Mei 31,kuna hofu juhudi za kupunguza matumizi ya tumbaku zinaonekana kurudishwa nyuma na ukiukaji wa sheria za kupambana na matumizi ya tumbaku31/05/2023 10:07
-
Siha Njema Kuipa hedhi heshima kama haki ya msingi miongoni mwa wanawake Umaskini umechangia wasichana wengi kukosa Sodo na kushindwa kwenda shule25/05/2023 09:28
-
Siha Njema Nafasi ya wauguzi kwenye mkondo wa huduma za afya na huduma za afya kwa wanaoishi na ulemavu Kila Mei kati ya tarehe 8- 14 dunia huwaenzi wauguzi ambao ni kiungo muhimu kwenye huduma za afya.16/05/2023 10:03
-
Siha Njema Mchango wa Wakunga katika utoaji huduma za kimsingi kwenye jamii Kila Mei tarehe tano ,ulimwengu huadhimisha siku ya kimataifa ya wakunga09/05/2023 10:03
-
Siha Njema Mpango wa afya kwa wananchi wa Zanzibar Zanzibar inaanza kutekeleza mpango wa mfuko wa bima wa afya kwa raia wote kupata huduma za afya bila malipo.02/05/2023 10:01