Hivi karibuni maseneta wa Marekani waliidhinisha pendekezo la Marekani kuishambulia Syria kutokana na matumizi ya silaha za kemikali. Makala ya Habari Rafiki leo hii itaangazia hali ya mambo nchini Syria huku jumuiya ya kimataifa ikiendelea na harakatika za kusaka amani nchini humo.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32