Jua Haki Zako

Ubaguzi wa rangi nchini Marekani

Imechapishwa:

Ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Marekani kupitia ubaguzi wa rangi bado ni suala tete nchini mule. Hususan polisi wa kizungu wakizidi kuwanyanyapaa raia wa ngozi nyeusi.

Raia wa ngozi nyeusi wakiandamana na kupambana na polisi wa kizungu nchini Marekani.
Raia wa ngozi nyeusi wakiandamana na kupambana na polisi wa kizungu nchini Marekani. REUTERS/Jim Young
Vipindi vingine