Venezuela imejikuta katika mzozo wa kisiasa na kiuchumi, kiongozi wa upinzani Juan Guaido amejiapisha kuwa rais, huku kiongozi wa nchi hiyo Nicolas Maduro akitishia kumchukulia hatua kali. Tunajadili hili kwa kina.
Vipindi vingine
-
Mjadala wa Wiki Joto la kisiasa kuelekea uchaguzi nchini Kenya 2022 Makala haya mJadala wa wiki tunajadili siasa za Kenya kuelekea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa rais wa hapo mwakani.15/09/2021 10:10
-
Mjadala wa Wiki Mapinduzi nchini Guinea na hali ya kisiasa kwa watawala barani Afrika Kwenye Mjadala wa wiki, tunaangazia hali ya kisiasa nchini Guinea na nini sababu za kutokea mapinduzi ya serikali barani Afrika. Swala ni kwa nini imejengeka dhana kwamba kiongozi anayeng'ang'ania madaraka mwisho wake siku zote ni mapinduzi ya kijeshi, nini kifanyike ili ifike mahali demokrasia na watawala waheshimu katiba za nchi zao?Mjadala wa wiki na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka10/09/2021 10:30
-
Mjadala wa Wiki Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amtaka naibu wake ajiuzulu Kwenye Mjadala wa wiki, tunaangazia hali ya kisiasa nchini Kenya. Wiki hii, rais Uhuru Kenyatta amemwambia naibu wake William Ruto ajiuzulu iwapo anaona hafurahishwi na ajenda ya serikali ambayo yeye ni mdau mkubwa.25/08/2021 13:41
-
Mjadala wa Wiki Siku 100 za Waziri Mkuu wa DRC Sama Lukonde Tunajadili siku 100 za serikali ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Sama Lukonde.12/08/2021 09:55
-
Mjadala wa Wiki Siasa za vyama nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu Kenya inajiandaa kuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Vyama vya siasa vimeanza maandalizi kujiweka tayari kwa uchaguzi huo. Lakini je, vyama hivi vimejiandaa vya kutosha ? Tunajadili.15/07/2021 10:11