KOREA-KUSINI-BAN
Ban Ki-moon kuitembelea nchi yake
Imechapishwa:
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon anatarajiwa kuanza ziara ya siku sita katika nchi yake ya Korea Kusini.
Matangazo ya kibiashara
Ripoti zinasema ziara hii pia inalenga kuweka mikakati ya Moon kuwania urais nchini humo katika siku zijazo baada ya kustaafu kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Moon mwenye umri wa miaka 71 anatarajiwa kustaafu kufikia mwisho wa mwaka huu, miezi 12 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka ujao nchini ya nchi yake.
Amekuwa akipata uugwaji mkono nchini mwake kutokana na wadhifa alio nao wa Ukatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.