Donald Trump, rais wa Marekani ametoa kauli kali ya kuwataka wabunge wanne wa Democrats kurudi waliokotoka, matamshi ambayo yamezua hofu huku wabunge hao wakimshutumu Trump kwa matamshi ya ubaguzi na kumtaka aombe radhi. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji ili kupata maoni yao
Vipindi vingine
-
30/05/2023 09:29
-
Habari RFI-Ki Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.29/05/2023 09:38
-
Habari RFI-Ki maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili Kila siku ya Ijumaa rfi Kishwahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile unayoipenda katika makala Habari Rafiki.19/05/2023 09:59
-
13/05/2023 09:30
-
12/05/2023 09:30