Habari RFI-Ki

Kauli ya Donald Trump ilivyoleta hisia tofauti duniani

Imechapishwa:

Donald Trump, rais wa Marekani ametoa kauli kali ya kuwataka wabunge wanne wa Democrats kurudi waliokotoka, matamshi ambayo yamezua hofu huku wabunge hao wakimshutumu Trump kwa matamshi ya ubaguzi na kumtaka aombe radhi. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji ili kupata maoni yao

Rais wa Marekani, Donald Trump
Rais wa Marekani, Donald Trump REUTERS/Kevin Lamarque
Vipindi vingine
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30