Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Sakata la Gazeti la News of the World nchini Uingereza

Imechapishwa:

kama ilivyo ada ya makala haya, nikukujuza yale yaliyojiri juma hili kwa kina na kubwa wiki hii ni kashfa ya uharamia wa simu nchini Uingereza pamoja na baa la njaa lililoikumba nchi ya Somalia.

Reuters/Parbul TV via Reuters Tv
Vipindi vingine