Mauaji ya wakulima na wafugaji nchini yatikisa Kenya
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 10:03
Mapigano makali yalizuka na kuua watu zaidi ya hamsini nchini Kenya huku watu wengine wakijeruhiwa. Nini kilitokea mpaka kufikia hatua hiyo? Fuatilia makala ya Habari rafiki ikifuatilia kwa undani suala hilo.