Habari RFI-Ki

Uganda na harakati za kumsaka Joseph Kony

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya hii leo ameangazia changamoto ambazo zinaikabili nchi ya Uganda katika harakati zake za kumsaka kiongozi wa waasi wa Uganda LRA, Joseph Kony ambaye nchi hiyo inadai kuwa amejificha nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na kwamba waas wa Seleka huenda wakawa wanampa hifadhi.

Kiongozi wa kundi la waasi wa LRA nchini Uganda, Joseph Kony
Kiongozi wa kundi la waasi wa LRA nchini Uganda, Joseph Kony RFI
Vipindi vingine
  • Image carrée
    09/06/2023 10:03
  • Image carrée
    06/06/2023 09:32
  • Image carrée
    05/06/2023 09:53
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30