Jitihada mbalimbali zimekuwa zikifanyika kukabiliana na maambukizi ya VVU na hatimaye ugonjwa wa Ukimwi huku makundi mbalimbali yakiathirika zaidi wakiwemo wanafunzi katika nchi za Afrika Mashariki. Makala ya Habari Rafiki leo hii inaangazia suala la wanafunzi kuwa katika hatari ya kuambukizwa VVU.
Vipindi vingine
-
30/05/2023 09:29
-
Habari RFI-Ki Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.29/05/2023 09:38
-
Habari RFI-Ki maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili Kila siku ya Ijumaa rfi Kishwahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile unayoipenda katika makala Habari Rafiki.19/05/2023 09:59
-
13/05/2023 09:30
-
12/05/2023 09:30