Katika makala haya tunazungumzia mchakato wa kulipendezesha jiji la Dar es Salaam hasa katika manispaa ya Ilala kwa kuweka vivutio mbalimbali na bustani za maua, Eby Shaban Abdalah ana mengi zaidi.
Vipindi vingine
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Kikao cha pili cha kamati ya majadiliano ya kiserikali kuelekea kuundwa kwa mkataba wa uchafuzi wa Plastiki Ripoti ya hivi punde ya shirika la mazingira la umoja wa mataifa kuhusu namna dunia inaweza kukomesha uchafuzi wa plastiki imependekeza mabadiliko ya mifumo ili kukabiliana na chanzo cha uchafuzi wa plastiki, mwanzo kwa kupunguza matumizi ya plastiki iliyo na madhara na isiyohitajika na mabadiliko ya masoko kuwezesha kutumia plastiki tena na tena.30/05/2023 09:34
-
16/05/2023 09:34
-
13/05/2023 10:02
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Wakulima nchini Kenya waapa kuendelea kutumia mbegu za kiasili ili kulinda mazingira Kenya yasalia nchi pekee kwenye jumuiya ya Afrika mashariki katika mipango ya uagizaji wa mbegu na vyakula vya jenetiki.Hadi sasa Tanzania, Uganda na Burundi bado haijafungulia uagizaji wa vyakula na mbegu zilizoboreshwa kisayansi, GMOs, katika kanda hii.01/05/2023 10:00
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Wanawake wanavyojishughulisha na uvuvi Pwani ya Kenya Tunawaangazia wanawake wanaofanya uvuvi katika maeneo ya baharini, Pwani ya Kenya, kazi ambayo mara nyingi kufanywa na wanaumme.19/04/2023 09:52