Habari RFI-Ki
Viongozi wa Afrika wataka kesi zao zilizoko kwenye mahakama ya ICC kurejeshwa barani humu
Imechapishwa:
Cheza - 09:54
Mtangazaji wa makala haya hii leo anaangazia mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika unaofanyika mjini Addis Ababa Ethiopia, mkutano unaotamatishwa hii leo, ambapo wanajadili kuhusu nchi hizo kujiondoa kwenye mahakama ya ICC.