Machafuko mashariki mwa DRC
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:25
Mtangazaji wa makala haya hii leo ameangazia mapigano yaliyozuka tena mashariki mwa nchi ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo, ambapo wanajeshi wa Serikali wanakabiliana na waasi wa kundi la M23 ambao wanataka kuuchukua tena mji wa Goma.