Agizo la wahamiaji haramu kuondoka Tanzania
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:32
Makala ya Afrika Mashariki wiki hii yanaendelea kujadili agizo la serikali ya Tanzania kuwataka wahamiaji haramu kuondoka katika jimbo la Kagera na kurudi kwao.Ungana na Julian Rubavu kwa mengi zaidi.