Afrika Ya Mashariki

Wahamiaji haramu bado tishio kwa nchi za Afrika Mashariki

Imechapishwa:

Nchi za Afrika Mashariki na kati zinakabiliwa na changamoto mbalimbali lakini moja wapo ni tatizo la wahamiaji haramu. Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zinaguswa na changamoto za tatizo hilo na hata kufikia kuamua kuwarudisha makwao. Leo makala ya Frika Mashariki itaangazia changamoto za kiuchumi na kijamii za kuwepo wahamiaji haramu nchini Tanzania.

Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46.
Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46. © EAC.int
Vipindi vingine
  • Image carrée
    31/05/2023 09:58
  • Image carrée
    24/05/2023 09:59
  • Image carrée
    18/05/2023 09:59
  • Image carrée
    12/05/2023 09:59
  • Image carrée
    03/05/2023 09:53