Mjadala wa Wiki

Kenya kujiondoa kwenye mahakama ya ICC

Imechapishwa:

Msikilizaji hii leo kwenye mjadala wa wiki tunatazama hatua ya wabunge wa Kenya kupitisha muswada wa kutaka nchi hiyo kujiondoa kwenye mkataba wa Roma wa kutaka kutoitambua mahakama ya ICC.

Reuters/Lex van Lieshout/Pool
Vipindi vingine