Ripoti ya Unesco ya kupotea kwa mamilioni ya pesa
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:58
Makala haya “Habari Rafiki”, yanaangazia ripoti ya shirika la Umoja ya wa Umataifa la mpango wa elimu UNESCO ya kupotea kwa mamilioni ya pesa katika sekta ya elimu wakati elimu ikitolewa kwa kiwango cha chimi.Ungana na Martha Saranga..............