Changu Chako, Chako Changu

Lugha inayowaunganisha wana Afrika Mashariki na Kati sehemu ya pili.

Imechapishwa:

Tunaendelea na mada juu ya Kiswahili kuwa lugha ya wengi Afrika Mashariki na Kati na duniani kwa ujumla. Sikiliza uhabarike na uelimike.

«De la Côte aux Confins - Récits de voyageurs swahili», par Nathalie Carré chez CNRS éditions.
«De la Côte aux Confins - Récits de voyageurs swahili», par Nathalie Carré chez CNRS éditions. © CNRS Editions